Hawza/ Mwakilishi wa Bunge la Bangladesh amesema kuwa, kinyume na baadhi ya nchi zinazojinasibisha na Uislamu, nchini Bangladesh mbali na kufanyika maandamano ya makumi ya maelfu ya watu dhidi…
Hawza/ Wanazuoni wa Bangladesh wamesema kuwa; Ayatullah al-Udhma Sayyid Ali Husseini Khamenei (ra), kwa kuitoa nafsi yake na familia yake sadaka katika njia ya Mwenyezi Mungu, ameonesha kwamba…
Hawza/ hafla ya kumbukizi ya Imam Khamenei iliandaliwa na taasisi za Iran zinazofanya kazi nchini Bangladesh kwa ushirikiano na Baraza la Wanazuoni wa Imamiya wa nchi hiyo pamoja na bodi ya wadhamini…
Hawza/ Kwa mara ya kwanza nchini Bangladeshi, wanazuoni wa Kishia na Kisunni wameungana kwa pamoja katika kugawa tabarruk za Imam Husein (a.s.) katika mji wa Khulna; hatua ambayo ni ishara ya…