bangaladeshi (4)
-
DuniaMshikamano kati ya Wanazuoni wa Kishia na Kisunni nchini Bangladeshi katika Kuiheshimu Arubaini ya Imam Husein (a.s.)
Hawza/ Kwa mara ya kwanza nchini Bangladeshi, wanazuoni wa Kishia na Kisunni wameungana kwa pamoja katika kugawa tabarruk za Imam Husein (a.s.) katika mji wa Khulna; hatua ambayo ni ishara ya…
-
Raisi wa Baraza la Maulamaa wa Imamiyya Bangladesh:
DuniaNjama za kijinga za Uzayuni wa Kimataifa ni dalili ya udhaifu na kukata tamaa kwao
Hawza/ Raisi wa Baraza la Maulamaa wa Imamiyya Bangladesh amesema: Njama za kijinga za Uzayuni wa kimataifa si tu ni ishara ya udhaifu na kukata tamaa, bali pia ni dalili ya athari ya kina ya…
-
DuniaUjumbe wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Bangladesh kwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Hawza/ Baraza la Maulamaa wa Kishia nchini Bangladesh limetoa taarifa rasmi likilaani vikali jinai ya kikatili iliyofanywa na utawala wa Kizayuni mporaji katika uvamizi wake dhidi ya ardhi ya…
-
Dunia"Inatumika kwenye nchi zote isipokuwa Israel"
Kuna kanuni isiyoandikwa miongoni mwa serikali za nchi nyingi za Kiislamu - kwamba mambo yanapoharibika nyumbani, zigeuze lawama kuelekea kwa Taifa la Israel.