Hawza/ “Jabha ya Amali ya Kiislamu nchini Lebanon” imetangaza kuwa uvamizi dhalimu na wa khiyana wa Marekani ni uvamizi dhidi ya mabaki ya mfumo wa kisasa wa dunia na ni dalili ya kusambaratika…
Hawza/ “Mkutano wa vyama, nguvu na shakhsia za kitaifa za Lebanon” katika kuelezea uvamizi wa wazi wa Marekani dhidi ya serikali ya Venezuela, umelaani vikali hatua hiyo.