Hawza/ Sheikh Maher Hammoud amesema: “Wakati wanataka Muqawama, pamoja na manufaa yote uliyoyaleta Lebanon, utoe silaha zake kwa ajili ya mradi wa kubuni serikali imara, ni sawa na kuuza chuma…
Sheikh Maher Hammoud amesema: Dalili za kurejeshwa kwa uhusiano wa kawaida na ushawishi wa Wazayuni zimefikia kikomo.