Hawza/ Sheikh Maher Hammoud amesisitiza kuwa; tangazo la kuuawa kishahidi kundi la makamanda wa Vikosi vya Izzuddin Al-Qassam linathibitisha kwamba njia ya muqawama haitasimama.
Hawza/ Sheikh Maher Hammoud amesema: “Wakati wanataka Muqawama, pamoja na manufaa yote uliyoyaleta Lebanon, utoe silaha zake kwa ajili ya mradi wa kubuni serikali imara, ni sawa na kuuza chuma…