Sheikh Ali al-Khatib (10)
-
Sheikh Ali Al-Khatib:
DuniaMaadamu Uvamizi Unaendelea, Muqawama Nao Utaendelea Kuwepo
Hawza/ Sheikh Ali Al-Khatib amewataka viongozi kutoweka matumaini yao kwa Marekani, ambayo inalenga kupitia mazungumzo ya moja kwa moja kuanzisha fitna ya ndani kwa ajili ya kumuokoa adui wa…
-
Sheikh Ali Al-Khatib:
DuniaShukrani nyingi kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran/ Tunakataa aina yoyote ya mazungumzo ya moja kwa moja na Israel
Hawza/ Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia nchini Lebanon, katika taarifa yake amesema kuwa; kumbukumbu ya miaka ishirini na sita ya ukombozi inakuja katika mazingira magumu…
-
Sheikh Ali al-Khatib:
DuniaTunaunga mkono mazungumzo ya ndani nchini Lebanon
Hawza/ Naibu Rais wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia nchini Lebanon, katika makao ya baraza hilo huko Al-Hazmiyya, alimkaribisha “Jeanine Hennis-Plasschaert”, Mratibu Maalum wa Umoja wa Mataifa…
-
DuniaPendekezo la Naibu Rais wa Baraza Kuu la Waislamu wa Kishia nchini Lebanon kuhusu kuunda muungano wa Kiislamu
Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh Ali Al-Khatib amesema: Tunawapongeza wananchi wote wa Lebanon na Waislamu wote kwa mnasaba wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, na tunamuomba Mwenyezi Mungu Atuwekee heshima…
-
Sheikh Ali Al-Khatib:
DuniaUshia kamwe haukuwa na misimamo ya ushabiki, bali umekuwa mlinzi wa Uislamu/ Kukabiliana na adui “Muisraeli” si suala la kimadhehebu bali ni wajibu wa kitaifa na Kiislamu
Hawza/ Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia nchini Lebanon amesisitiza kuwa; Ushia kamwe haukuwa wa ushabiki, bali umeulinda Uislamu, jamii ya Kiislamu na umma wa Kiislamu kwa…
-
Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia wa Lebanon:
DuniaAdui Muisraeli Hataki Utulivu Upatikane Katika Ukanda Huu
Hawza/ Sheikh Ali al-Khatib, Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia wa Lebanon, alisisitiza: Tunaupa umuhimu uthabiti katika nchi zote za eneo hili, lakini adui Mzayuni haachi nafasi…
-
Makamu wa Rais wa Baraza Kuu la Kiislamu la Kishia Lebanon:
DuniaMapambano na Israel ni mapambano ya Kitamaduni yanayo endelea, na Muqawama haujashindwa na kamwe hautashindwa
Hawza/ Sheikh Ali al-Khateeb amesisitiza kwamba jamii ya Lebanon, pamoja na kuwa na tofauti za kimadhehebu na kidini, bado ni jamii moja yenye mshikamano, na msimamo wake unapaswa kuwa wa umoja…
-
DuniaSheikh al-Khatib: Tunatumaini kikao cha Doha kitaishia kwenye maamuzi muhimu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sheikh Ali al-Khatib, Makamu wa Rais wa Baraza Kuu la Kiislamu la Kishia la Lebanon, baada ya kukamilisha safari yake katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amerejea…
-
Rais wa Baraza Kuu la Waislamu wa Kishia nchini Lebanon:
DuniaMshikamano wa Lebanon sasa umesimama imara zaidi kuliko zamani dhidi ya hila za maadui / Shambulizi la Israel dhidi ya Qatar ni funzo kwa tawala zote za Kiarabu na katika ukanda
Hawza/ Sheikh Ali Al-Khatib, akisisitiza juu ya ulazima wa kudumisha mshikamano baina ya mataifa ya eneo hili, amesema: Shambulizi la Israel dhidi ya Qatar ni kengele ya hatari kwa tawala zote…
-
Sheikh Ali Al-Khatib katika ufunguzi wa Mkutano wa Umoja:
DuniaUshindi wa muqawama umeilazimisha dola ya Kizayuni kukiri kushindwa kwake
Hawza/ Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Kishia nchini Lebanon alisisitiza: Adui anataka kuutenga umma wa Kiislamu na malengo yake ya kimungu, lakini ushindi wa muqawama umeilazimisha…