Sayyid Sadruddin Qubanchi (10)
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa ya Najaf Ashraf:
DuniaWafuasi wa Ahlul-Bayt (a.s) wanaamini katika undugu wa kivitendo ndani ya Uislamu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qubanchi, katika kumbukumbu ya mwaka wa kumi na mbili tangia kuanguka kwa mji wa Mosul mwaka 2014 na kuachiliwa kwake katika mwaka huo huo,…
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaMustakabali utashuhudia mwisho wa nguvu kubwa za dunia
Hawza/ Hujjat al-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadr al-Din al-Qubanchi alisema: Mgongano kati ya uongozi wa kidini na uongozi wa kisiasa umeongezeka, na hili linaashiria mgogoro unaokaribia kupelekea…
-
Imamu wa Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaTrump baada ya kushindwa vitani sasa anakabiliwa na kushindwa ndani ya nchi; hatimaye Iran imeshinda
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadr al-Din Qabanchi alisema: Trump baada ya kushindwa vitani sasa anakabiliwa pia na kushindwa ndani ya nchi, na hatimaye Iran imeshinda na madola ya…
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaTunasimama pamoja na watu wetu wavumilivu na mashujaa nchini Lebanon
Hawza/ Hujjat al-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadr al-Din al-Qubanchi amelaani uvamizi wa kidhulma uliofanywa na utawala haram wa Kizayuni dhidi ya miji ya Lebanon.
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaShahidi Imamu Khamenei ni mwanzilishi wa nadharia ya mhimili wa Muqawama na nadharia ya jihadi ya ufafanuzi
Hawza/ Hujjat al-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadr al-Din al-Qubanchi alisema: Janga la Lebanon limefichua unyama wa Kizayuni, na hapa tunatoa pole na kuonesha masikitiko yetu kwa watu wa Lebanon,…
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaHivi karibuni tunatarajia kusikia habari ya kuanguka Serikali ya Trump na kuvunjika kwa Marekani
Hawza: Hujjat al-Islam wa al-Muslimin Sayyid Sadr al-Din al-Qubanchi, Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Najaf Ashraf, katika khutba za Swala ya Ijumaa, alilishukuru na kulipongeza jeshi la muqawama…
-
Imamu wa Ijumaa wa Najafu Ashraf:
DuniaMakubaliano ya Usitishaji Mapigano Ghaza ni Ushindi wa Muqawama Dhidi ya Kusalimu
Hawza / Hujjatul-Islam na Waislamu Sayyid Sadruddin Qabanchi alisema kuwa utawala wa Israeli, ukiungwa mkono kimataifa na silaha zenye nguvu zaidi za kivita ambazo hazijapata kutokea, hatimaye…
-
Imam wa Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaKuuwawa kishahidi Waziri Mkuu na viongozi mashuhuri wa Yemen hakukuathiri mwendelezo wa mapambano ya Yemen
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qubanji alisema: Kuuwawa kishahidi Waziri Mkuu wa Yemen pamoja na viongozi wengine 21 mashuhuri wa Yemen hakukuathiri mwendelezo wa mapambano…
-
Imamu wa Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaTunataka Wa-Iraq waliokamatwa Saudi Arabia waachiwe huru
Hawzah/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qubanchi alisema: makumi ya Wairaqi wamekuwa wakishikiliwa katika magereza ya Saudi Arabia kwa zaidi ya mwaka mmoja, baadhi yao, kosa lao…
-
DuniaImamu wa Ijumaa Najafu Ashraf, Akosoa kuhusiana na kuenezwa baadhi ya upotovu wa kidini na kimaadili katika majlisi za Huseini
Hawza / Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qubanchi alisema: “Tunaamini kuwa Hashd al-Sha‘bi ni nukta ya nguvu ya Iraq na Hashd al-Sha‘bi ni alama ya heshima na fahari ya Iraq, kuvunjwa…