Hawza/ Katika hatua yenye mvumo mkubwa wa kidiplomasia, nchi ya Brazil imeungana na wanaounga mkono kuishtaki Israel, mashtaka ambayo yaliwasilishwa hivi karibuni katika Mahakama ya Kimataifa…
Hawzah/ Rais wa Brazil, Luiz Inácio Lula da Silva, ametoa wito kwa serikali duniani kuchukua hatua madhubuti na ya pamoja dhidi ya Israel, akisema kuwa dunia haiwezi kukaa kimya mbele ya mauaji…