Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon (6)
-
DuniaMkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon wakosoa vikali misimamo ya viongozi wakuu wa nchi hiyo kuhusu mazungumzo ya Washington
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon umeelezea matokeo ya mazungumzo yaliyofanyika kati ya Lebanon na adui Mzayuni chini ya usimamizi wa Shetani Mkuu, Marekani, kuwa ni ya kukatisha…
-
Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Lebanon:
DuniaTunaiunga mkono Hizbullah katika kuilinda Lebanon
Hawza/ "Mkusanyiko wa Wanazuoni Wakiislamu wa Lebanon" umesema katika taarifa yake kwamba; Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imethibitisha kuwa ni nchi yenye nguvu; kwa namna ambayo mauaji ya kinyama…
-
DuniaUjumbe wa "Jumuiya ya wanazuoni Lebanon" uliohudhuria katika maadhimisho ya mwaka wa kwanza wa “Machweo ya Jua” kwenye kaburi la shahidi Nasrullah
Hawza/ Ujumbe kutoka kwa "Jumuiya ya wanazuoni Lebanon", ulishiriki katika hafla ya kumbukumbu ya mwaka wa kwanza ya “Machweo ya Jua” iliyofanyika katika kaburi tukufu la Bwana wa Mashahidi wa…
-
Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon:
DuniaMuqawama bado upo kwa nguvu na vita vitakavyo amua havipo mbali
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon umetangaza kuwa; siku hizi zinalingana na kumbukumbu ya mwaka wa kuuawa kishahidi makamanda mashahidi, Sayyid Abbas Mousawi, Sheikh Ragheb…
-
Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon:
DuniaIli kukabiliana na fitna za adui na kuzizima tangu mwanzo wake, tutakuwa chini ya uongozi wa Imam Khamenei
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon umetoa ujumbe wa pongezi kwa maadhimisho ya miaka ya arobaini na saba ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon walaani kudharauliwa Qur’ani Tukufu:
DuniaKuitukana Qur’ani ni Sawa na Kuwashambulia Waislamu Wote
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon, katika taarifa rasmi, umelaani vikali kitendo cha “Jake Lang”, mgombea wa Chama cha Republican cha Marekani, cha kuidharau Qur’ani Tukufu.