Hawza/ Vikao vya maombolezo ya kumbukumbu ya shahada ya Imam Hussein (as) vinaendelea kushuhudia mwitikio mkubwa nchini Kenya, ambapo mamia ya waumini wanahudhuria majlisi mbalimbali zinazolenga…
Hawza/ Katika hali iliyojaa huzuni, mapenzi na utiifu kwa Ahlul-Bayt (as), mamia ya Waislamu wa Jumuiya ya Kishia nchini Kenya wamefanya matembezi makubwa ya kumbukumbu ya shahada ya Imam Hussein…
Hawza/ Kufuatia na kuadhimisha masiku ambayo yanasadifiana na siku aliyopata shada Binti wa Mtume, Bibi Zahraa (as) Mashia nchini Kenya nao pia waliadhimisha tukio hilo la kuhuzunisha.