Hawza/ Abdul Bari Atwan, mchambuzi mashuhuri wa ulimwengu wa Kiarabu, amesema kuwa; shambulio la ndege zisizo na rubani dhidi ya Bandari ya Damietta nchini Misri ni sehemu ya mpango uliobuniwa…
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Mir Hussein Ziai amesema kuwa; kuwaamini madhalimu kunapingana na mafundisho ya Uislamu, ameitaja Marekani kuwa ndiyo chanzo cha utawala wa mabavu na uporaji…
Hawza/ Taasisi 14 za vijana zilizoko Istanbul ziliandaa programu ya pamoja katika ukumbi wa Kadir Topbaş na kutangaza mshikamano wao na Iran; programu iliyohudhuriwa na balozi mdogo wa Iran na…
Hawza/ Hujjat al-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadr al-Din al-Qubanchi alisema: Mgongano kati ya uongozi wa kidini na uongozi wa kisiasa umeongezeka, na hili linaashiria mgogoro unaokaribia kupelekea…