Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 70 alikamatwa kwa nguvu na polisi wakati wa maandamano ya kuwaunga mkono wapalestina huko Berlin, tukio hilo lilitokea baada ya kunyanyua juu ya kichwa chake…
Maelfu ya watu katika jiji la Rotterdam, Uholanzi, wameandamana kwa ajili ya kupinga mashambulizi ya mara kwa mara yanayofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Ghaza. Maandamano haya…
Kundi la Eslami ya Multan, liliandaa maandamano makubwa kwa ajili ya kuwahami watu wa Palestina, huku ilikemea vikali uhalifu unaofanywa na Israel huko Gaza.