Kataib Sayyid al-Shuhada (7)
-
Kataib Sayyid al-Shuhadaa (as):
DuniaKisasi cha damu ya Mazuwari wa Imam Hussein (as) kitakuwa jinamizi la mauti kwa wavamizi
Hawza/ Ofisi ya Muqawama wa Kiislamu ya Kataib Sayyid al-Shuhadaa (as) imeeleza kuwa; kitendo cha kigaidi cha Marekani na utawala wa Kizayuni cha kuwalenga mazuwari wasio na ulinzi wa Haram ya…
-
Katibu Mkuu wa Kata'ib Sayyid al-Shuhadaa:
DuniaMazishi ya Imam Shahidi Khamenei ni Kuifanya Upya Ahadi ya Njia ya Heshima na Utukufu
Hawza/ Abu Alaa al-Wala'i, Katibu Mkuu wa Kata'ib Sayyid al-Shuhadaa, huku akisisitiza nafasi ya mashahidi katika Umma wa Kiislamu, amesema: "Kushiriki katika mazishi ya mashahidi si ibada ya…
-
DuniaAbu Alaa Al-Wala’i: Sauti ya “فُزنا وربّ الكعبة” Imesikika Katika Uwanja Mzima wa Muqawama
Hawza/ Katibu Mkuu wa Kataib Sayyid al-Shuhadaa (as) nchini Iraq, akisisitiza kwamba; leo sauti ya “فُزنا وربّ الكعبة” imetanda katika uwanja mzima wa muqawama, amesema: Kupitia kutimia kwa “Ahadi…
-
DuniaKata’ib Sayyid al-Shuhada watoa onyo kwa Marekani na Israel: Muqawama hautakaa kimya mbele ya uchokozi
Hawza/ Ofisi ya kitamaduni ya Harakati ya Muqawama ya Kiislamu ya Kata’ib Sayyid al-Shuhada ndani Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kwa kutoa taarifa rasmi kujibu kuwekwa kwa zawadi kwa ajili ya kumuua…
-
Katibu Mkuu wa Kata’ib Sayyid ash-Shuhada:
DuniaUchaguzi wa Iraq: “Mapigano Meupe” ya Taifa katika Kuilinda Dhamira ya Muqawama
Hawza/ Katika mwelekeo wa uchaguzi wa Iraq, Abu Alaa al-Wala’i alisema kuwa uchaguzi wa Iraq ni “mapigano meupe” ya kiwango kamili; silaha yake ni kura safi za taifa na uwanjani ni sanduku la…
-
Mwakilishi wa Kata’ib Sayyid al-Shuhada:
DuniaMarekani ina hofu na ushawishi walionao watu wa muqawama nchini Iraq
Hawza/ Mwakilishi wa kitengo cha utamaduni wa Kata’ib Sayyid al-Shuhada ya Iraq mjini Qom Iran, amesema kuwa harakati hiyo imewekwa katika orodha ya vikwazo na Marekani kutokana na umaarufu wake…
-
Radi amali ya Katibu Mkuu wa Kataib Sayyid al-Shuhada kuhusiana na kuingizwa kwenye orodha ya magaidi na Marekani:
HawzaKuingizwa jina la “Kataib Sayyid al-Shuhada” katika orodha ya magaidi na Marekani ni alama ya fahkari kwetu
Hawzah/ Abu Ala al-Wala’i, Katibu Mkuu wa Kataib Sayyid al-Shuhada, akijibu kuingizwa kwake na “Kataib Sayyid al-Shuhada” kwenye orodha ya magaidi na Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, ameona…