Hawza / Sheikh Ali al-Khatib amegusia matukio ya hivi karibuni nchini Lebanon na katika eneo zima, hasa yanayoendelea Syria, na kusema: Yanayojiri nchini Syria ni hatari sana kwa Syria na kwa…
Hawza / Mahmoud al-Muwalidi alitoa tuhuma za moja kwa moja dhidi ya mfumo wa sasa wa Syria na kuuelezea kuwa ni "nakala iliyoundwa" inayofanya kazi chini ya amri ya Wamarekani na Wazayuni.
Hawza/ Sheikh Hikmat Al-Hijri amekanusha vikali uwepo wowote wa makubaliano, mazungumzo au ruhusa yoyote na makundi ya kihalifu kuhusiana na hali ya mkoa wa Sweida.