Jakarta, mji mkuu wa Indonesia, ulishuhudia maandamano ya wananchi yaliyolenga kuunga mkono watu wa Palestina wanaoteseka. Waandamanaji walikusanyika mbele ya ubalozi wa Marekani huku wakiimba,…
Waislamu na watetezi wa haki duniani katika nchi za Indonesia na Malaysia wameshiriki kwa maelfu katika maandamano ya kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds yanayofanyika katika Ijumaa ya mwisho…