Indonesia (7)
-
DuniaSwala ya Umoja yapamba jalada la kitabu “Shia; Ndugu wa Qibla Kimoja”
Hawza/ Kitabu “Shia; Ndugu wa Qibla Kimoja”, kilichoandikwa na Mus'ab Muqaddas, mtafiti kutoka jamii ya Ahlu Sunna nchini Indonesia, kimechapishwa kwa mtazamo wa kihistoria, kielimu na kisiasa…
-
DuniaRais wa Tano wa Indonesia: Imam Shahidi Hakuwa Kiongozi wa Iran Pekee, Bali Alama ya Mapambano na Uadilifu
Hawza/ Rais wa tano wa Indonesia amesema: "Kwa mtazamo wangu, shakhsia ya Ayatullah al-Udhma Sayyid Ali Khamenei haikuwa tu ya kiongozi wa kisiasa au mwanazuoni wa kidini kutoka taifa la Iran…
-
DuniaUbunifu wa Kuvutia wa Waindonesia katika Kuonesha Mshikamano wao na Iran/ Gwaride la Magari Yenye Picha za Mashahidi wa Iran Jijini Jakarta
Hawza/ Harakati ya kitamaduni iliyoanzishwa na vijana wa Indonesia katika kuunga mkono malengo na misingi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kupitia gwaride la mfano la magari yaliyopambwa kwa picha…
-
DuniaMwimbaji Mmarekani awasilisha shairi la kiirfani la Imam Khomeini katika sherehe za Ghadir huko Jakarta
Hawza/ Sambamba na kufanyika hafla ya kumbukumbu ya miaka thelathini na saba ya kufariki kwa Mtukufu Imam Khomeini (ra) pamoja na sherehe kubwa ya Idi Tukufu ya Ghadir Khum huko Jakarta, Mustafa…
-
DuniaWito wa umoja nchini Indonesia; kumbukumbu ya Shahidi Raisi ikijikita katika kuitetea Qur'ani na umoja wa Kiislamu
Hawza/ Katika mkutano mkubwa wa kimataifa wa kumbukumbu ya Shahidi Ayatullah Sayyid Ibrahim Raisi ulioshirikisha viongozi wa ngazi za juu wa Iran na Indonesia, ilisisitizwa nafasi yake muhimu…
-
DuniaBalozi na Mshauri wa Utamaduni wa Iran watoa pongezi kwa watayarishaji wa filamu “Watoto wa Mbinguni” nchini Indonesia
Hawza/ Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Indonesia pamoja na Mshauri wa Utamaduni walihudhuria hafla maalumu ya onyesho la filamu ya “Watoto wa Mbinguni” nchini Indonesia na kutoa…
-
DuniaWananchi wa Indonesia Waionya Serikali: Msidanganywe na Mwonekano wa Trump
Hawza/ Kundi la wanachama wa Muungano wa Watetezi wa Katiba ya Indonesia, katika hatua ya kibinadamu walikusanyika mbele ya jengo la Grahadi mjini Surabaya Indonesia, wakitaka kupingwa kwa ukoloni…