Harakati ya Nujabaa (6)
-
DuniaVitisho dhidi ya Katibu Mkuu wa Nujabaa ni ishara ya kufilisika kwa Marekani/ Hongera kwa wapiganaji wa Iraq
Hawza/ Mwenyekiti wa Kamisheni ya Asili ya 90 ya Bunge la Ushauri la Kiislamu, huku akirejelea hatua ya Marekani kuweka zawadi ya dola milioni kumi kwa ajili ya taarifa kuhusu Sheikh Akram Al-Kaabi,…
-
Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Nujabaa:
DuniaSilaha ya muqawama ni kwa ajili ya kulilinda taifa la Iraq
Hawza/ Sheikh “Nazim Al-Saidi”, mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Nujabaa, huku akisisitiza kutenganisha silaha ya muqawama na silaha ya vurugu na machafuko, ametaka kupambana na ufisadi…
-
Katibu Mkuu wa Harakati ya Nujabaa:
DuniaMhimili wa Muqawama bado haujafichua karata zake za kikanda
Hawza/ Katibu Mkuu wa Harakati ya Nujabaa, huku akirejea kushindwa kwa Marekani na utawala wa Kizayuni kufikia malengo yao katika vita vya Ramadhani, alisisitiza kwamba; mhimili huu bado haujafichua…
-
Harakati ya Nujabaa:
DuniaKumtazama vibaya Kiongozi wa Mapinduzi ya Iran ni sawa na kuanzisha vita vikubwa / Wairaq wako tayari kupigana bega kwa bega na Wairan dhidi ya Marekani
Hawza/ Firas al-Yasir, mjumbe wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya Nujabaa, alieleza kwamba, hata “kumtazama kwa jicho baya” Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ni sawa na kuanzisha vita vikubwa, na akasisitiza…
-
DuniaSilaha kali zaidi ya vikwazo kutoka Marekani dhidi ya Harakati ya Nujabaa imetumika
Hawza/ Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, kwa kuimarisha kiwango cha vikwazo dhidi ya Harakati ya Muqawama ya Kiislamu ya Nujabaa ya Iraq, imeitambulisha rasmi harakati hiyo kama “Shirika la…
-
Harakati ya Nujabaa ikiwasemesha watawala wa Kiarabu:
DuniaJifunzeni kutokana na shambulio dhidi ya Qatar; nyinyi kwa maridhiano hamtakuwa salama kutokana na madhara ya Israeli
Hawza/ Harakati Nujabaa katika tamko lake, imelaani shambulio dhidi ya makao ya Hamas huko Doha na ikatoa onyo kwamba maridhiano na utawala wa Kizayuni hayaleti usalama kwa tawala za Kiarabu.