Hawza/ Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, kwa kuimarisha kiwango cha vikwazo dhidi ya Harakati ya Muqawama ya Kiislamu ya Nujabaa ya Iraq, imeitambulisha rasmi harakati hiyo kama “Shirika la…
Hawza/ Harakati Nujabaa katika tamko lake, imelaani shambulio dhidi ya makao ya Hamas huko Doha na ikatoa onyo kwamba maridhiano na utawala wa Kizayuni hayaleti usalama kwa tawala za Kiarabu.