Hawza/ hafla ya kufunga kongamano la "Mwanamke na Familia" ilifanyika leo Alhamisi, tarehe 16 Oktoba katika ukumbi wa Kituo cha Malezi ya Watoto na Vijana kilichoko kwenye Barabara ya Shahid…
Ayatollah Subhani alitoa jumbe tofauti katika kuadhimisha miaka 1073 tangia ujenzi wa Msikiti mtukufu wa Jamkarani kwa amri ya Imaam wa zama (aj).