-
DuniaMazishi ya Sayyid Ali Khamenei Yalibeba Ujumbe Mkubwa kwa Umma; Maulana Hemed Jalala Aainisha Mafunzo Matano Muhimu Rufiji
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, jana alihudhuria na kusoma Majlisi ya kumbukumbu ya Sayyid Ali Khamenei iliyofanyika katika Husseiniyat…
-
Hizbullah:
DuniaMsimamo Wetu katika Masuala Yote ni Mmoja na Thabiti; Yaliyoripotiwa na Baadhi ya Vyombo vya Habari Si ya Kweli
Hawza/ Msimamo wetu katika masuala yote ni mmoja na thabiti, na habari zinazosambazwa na baadhi ya vyombo vya habari si za kweli.
-
Mbunge wa Kambi ya Muqawama Lebanon:
DuniaUongozi wa Nchi Umewaacha Wananchi Wake na Unasisitiza Kuikokota Lebanon Kwenye Hali Hatari Sana
Hawza/ Ali Fayyadh amesisitiza kuwa; baada ya kumalizika kwa duru ya mazungumzo mjini Roma kati ya ujumbe wa Lebanon na adui Israel, misimamo rasmi ya serikali ya Lebanon imefichuka zaidi kuliko…
-
DuniaUshauri wa Iraq kwa Al-Jolani: Jiepushe na Kujiingiza katika Masuala ya Lebanon
Hawza/ Taarifa zilizopokelewa zinaonesha kuwa "Rais wa Syria", Muhammad Al-Jolani (Ahmad Al-Sharaa), katika siku za hivi karibuni alipokea "ushauri" kutoka kwa serikali ya Iraq ukimtaka kutojiingiza…