"Hawza", kufuatia kuongezeka kwa mgogoro wa kibinadamu huko Gaza na kuendelea kwa jinai zinazo fanywa na utawala wa Kizayuni, Hafidh Naeem-ur-Rehman, kupitia barua alizowatumia viongozi wa nchi…
Makombora ya utawala wa kizayuni yanaendelea kuwamiminikia wakimbizi wa Palestina walio na njaa katika ukanda wa Ghaza.