Hawza/ Mgogoro wa Ghaza ni janga la kibinadamu ambalo athari zake mbaya zinawakumba watu wa tabaka lote, lakini mzigo mkubwa zaidi unabebwa na watoto. Mzigo huu unavunja mifupa yao, kwa hakika,…
Kuna kanuni isiyoandikwa miongoni mwa serikali za nchi nyingi za Kiislamu - kwamba mambo yanapoharibika nyumbani, zigeuze lawama kuelekea kwa Taifa la Israel.