Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, katika kikao na waandaaji wa Hija pampja na kundi la mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu, alisema kuwa lengo la Mola kwenye ibada ya Hija ni kuwasilisha…
Hujjatul-Islam wal-Muslimin Arif Hussein Waahidi, katika mkutano wa kila mwaka wa hija, alieleza kuwa: hija ni siri ya umoja wa waislamu wote ulimwenguni.