Hawza/ “Rana Tanveer Hussain,” Waziri wa Kilimo na Usalama wa Chakula wa Pakistan, katika safari yake mjini Qom Iran, alipata bahati ya kuzuru haramu tukufu ya Bibi Fatima Masuma (a.s)
Hawza/ Watalii 40 kutoka nchi ya Poland, wamehudhuria katika haram takatifu ya Bibi Fatima Maasuma Salamullahi ‘Alayha, kutokana na kuhudhuria kwao waliweza kuifahamu shakhsia na hadhi ya Bibi…