Hawza/ Umoja wa Ulaya siku ya Jumatatu ulitangaza kulaani uamuzi wa hivi karibuni wa utawala wa Israel wa kuimarisha udhibiti katika Ukingo wa Magharibi.
Mmoja wa maafisa wa ngazi za juu katika Umoja wa Ulaya amesema: Kufanya biashara na Israel ni fedheha ya hali ya juu kabisa, umoja wa Ulaya hapaswi kufanya tendo hili ovu. Msiwauzie silaha Israel.