Hawza/ Hizbullah na watu wa Muqawama waliuaga mwili wa Mwanazuoni, Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sheikh Ridha Mahmoud Mahdi.
Hawza/ Hawza ya Kielimu ya Jabal ‘Amil, kwa kutoa ujumbe rasmi, imewasilisha rambirambi zake za dhati na za moyo mkunjufu pamoja na kuonesha mshikamano wake kufuatia kufariki kwa Hujjatul-Islam…