Hawza/ Sayyid Muqtada Sadr, kiongozi wa Harakati ya Kitaifa ya Kishia nchini Iraq, alionsha hasira na kutoridhishwa kwake kutokana na kauli za Irfan Siddiq, Balozi wa Uingereza mjini Baghdad.
Hawza/ Kiongozi wa Harakati ya Sadri nchini Iraqi, kwa kutoa ujumbe kutokana na kupata Shahada Kiongozi wa Mapinduzi, ametuma salamu za rambirambi kwa Waislamu wote.