Hawza/ Kwa mnasaba wa “Sikukuu ya Muqawama na Ukombozi”, Sheikh Ahmad Al-Qattan, rais wa Jumuiya ya “Qawluna wal-‘Amal”, alipokea ujumbe kutoka kwa “Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu” wa Lebanon…
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon katika taarifa yake ulisema: Adui bado anaendelea na hujuma zake kwa kuvunja makubaliano ya kusitisha mapigano na Azimio namba 1701, na kwa…