Hawza/ Ayatollah Sheikh Muhammad Yaqubi, katika ujumbe wake, alitoa salamu za rambirambi kufuatia kufariki kwa mwanazuoni mchamungu Ayatollah Sayyid Muhammad Baqir Musawi Kashmiri, mmoja wa maulamaa…
Maelfu ya waumini wa Jammu na Kashmir walihudhuria kwa wingi katika matembezi makubwa ya siku ya Quds, huku wakipiga mayowe yaliyo ashiria "Kifo kwa Israeli" na "Uhuru kwa Palestina", kuonyesha…