Jannatul Baqi (4)
-
DuniaPainia wa Wahindi katika ujenzi upya wa Baqi‘; kitabu cha “Jannat al-Baqi‘; Historia, Ukweli na Nyaraka” yazinduliwa katika mji mkuu wa India
Hawza/ Wakati wa kumbukumbu ya miaka mia moja tangia kubomolewa kwa makaburi matukufu kihistoria ya Jannat al-Baqi‘, hafla ya uzinduzi wa kitabu “Jannat al-Baqi‘; Historia, Ukweli na Nyaraka”…
-
Katika kikao cha kimataifa kilichoandaliwa kuhusu ujenzi upya wa Baqī':
DuniaKuanzia tarehe 15 hadi 25 Shawwal zimeitwa "siku kumi za Baqī'"
Kikao cha kimataifa kilicho fanyika mtandaoni kiliandaliwa na Taasisi ya Baqī' ya Chicago kwa kushirikisha maulamaa mashuhuri kutoka nchi mbalimbali.
-
HawzaKikao cha kimataifa cha kutaka ukarabati wa Baqi’ chafanyika Qom
Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mwaka wa uharibifu wa kusikitisha wa makaburi ya Jannatul-Baqi’, kikao cha kimataifa kimefanyika katika mji mtukufu wa Qom, katika shule ya Imam Khomeini (r.a), kwa…
-
DuniaWaislamu wa Kishia wa Hyderabad Pakistan, wakusanyika kupinga uharibifu wa Pakistan , katika mnasaba wa kumbukizi ya Kubomolewa makaburi hayo
Katika kumbukumbu ya siku ya kubomolewa kwa makaburi matukufu ya Jannatul Baqi', Waislamu wa madhehebu ya Shia mjini Hyderabad, Pakistan walifanya maandamano ya kuonesha upingaji wao dhidi ya…