Iwapo Imām hatokuwa ni mwenye kuhifadhiwa dhidi ya makosa, basi itawapasa watu wamtafute Imām mwingine ili awajibu mahitaji yao. Na iwapo na huyo pia hatokuwa ni mwenye kuhifadhiwa dhidi ya makosa,…
Hawza/ Kama Imam hato hifadhiwa kutokana na kukosea, basi itakuwa ni lazima kumtafuta Imam mwingine ili kukidhi mahitaji ya watu, na ikiwa naye pia hatakuwa salama kutokana na makosa, basi Imam…