Hawza/ Kuzaliwa kwa Bibi Zaynab (a.s) ni hatua muhimu katika historia ya Uislamu; ni mwanamke ambaye kutokana na elimu, subira na ujasiri wake, aligeuka kuwa kielelezo cha kudumu kwa wanawake…
Hawza / Ni kweli kuwa binadamu ameumbwa kwa taabu; lakini baadhi ya watu ni kama kioo cha dhahiri cha uvumilivu wa Mwenyezi Mungu duniani, na bibi Zainabu (sa) alikuwa wa aina hiyo.