Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Murid Hussein Naqvi alikutana na kufanya mazungumzo na Ayatullah al-‘Udhma Bashir Hussein Najafi hukk Najaf Ashraf.
Hawza/ Clemens Simetner, Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Iraq, akiwa ameambatana na ujumbe wake, alikutana na Ayatullah Al-Udhma Sheikh Bashir Hussein Najafi katika mji mtukufu wa Najaf Ashraf.