Hawza/ Ayatollah Sheikh Muhammad Yaqubi, katika ujumbe wake, alitoa salamu za rambirambi kufuatia kufariki kwa mwanazuoni mchamungu Ayatollah Sayyid Muhammad Baqir Musawi Kashmiri, mmoja wa maulamaa…
Hawza; Ayatollah Kishmiri usingizi anauona ni kama vile ndugu wa mauti, na anahusia mtu achukue udhu kabla ya kulala, alale akiwa ameelekea Qibla, na asome Ayat Kursii, Tasbihi za bibi Zahra…