Jumatatu 14 Septemba 2026
  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Fadhila Zinazopatikana Katika Swala ya Jamaa

    Hadithi ya Leo:

    DuniaFadhila Zinazopatikana Katika Swala ya Jamaa

    Hawzah/ Mtume Mtukufu wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) katika riwaya moja ameeleza kuhusu fadhila na ubora wa kuswali jamaa ikilinganishwa na kuswali mtu peke yake.

    2026-09-14 09:54
  • Ushindi wa wananchi wa Yemen wanaopinga dhuluma ni “Ushindi juu ya Ushindi”/ Alaani vikali shambulio dhidi ya Chuo cha Kiislamu cha Khatam al-Nabiyyin (s.a.w.w.) nchini Afghanistan

    Ayatullah Mervi katika darsa ya Kha'riji:

    DuniaUshindi wa wananchi wa Yemen wanaopinga dhuluma ni “Ushindi juu ya Ushindi”/ Alaani vikali shambulio dhidi ya Chuo cha Kiislamu cha Khatam al-Nabiyyin (s.a.w.w.) nchini Afghanistan

    Hawzah/ Naibu Katibu wa Pili wa Baraza Kuu la Hawza nchini Iran, amesema ushindi wa wananchi waliodhulumiwa na wanaopinga dhuluma nchini Yemen ni “Ushindi juu ya Ushindi”, na akasisitiza: “Kwa…

    2026-09-14 08:53
  • Kupokea Posho na Msaada wa Kifedha Pasi na Kuzingatia Ratiba ya Masomo

    Hukumu za Kisheria:

    DiniKupokea Posho na Msaada wa Kifedha Pasi na Kuzingatia Ratiba ya Masomo

    Hawzah/ Ayatullah Shahidi Sayyid Ali Khamenei amejibu swali la kisheria kuhusu “kupokea posho ya masomo na msaada wa kifedha pasi na kuzingatia ratiba ya masomo.”

    2026-09-14 01:39
  • Ushirikiano wa Hawzah za Iran na Iraq Uimarishwe Katika Nyanja za Kielimu na Kiutamaduni

    Mwakilishi wa Ataba ya Alawiya Nchini Iraq:

    DuniaUshirikiano wa Hawzah za Iran na Iraq Uimarishwe Katika Nyanja za Kielimu na Kiutamaduni

    Hawzah/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Naba Al-Hamami, akipongeza Maonesho ya 11 ya Kitaalamu ya Vitabu vya Hawzah na Maarifa ya Kiislamu, amesisitiza umuhimu wa kuimarisha uhusiano kati…

    2026-09-14 01:09
  • Tunataka Kusimama Dhidi ya Israel na Kukomesha Migogoro Katika Nchi za Kiarabu na Kiislamu

    Imam wa Ijumaa wa Najaf:

    DuniaTunataka Kusimama Dhidi ya Israel na Kukomesha Migogoro Katika Nchi za Kiarabu na Kiislamu

    Hawzah/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanji amezungumzia uwepo wa rais wa ardhi zinazokaliwa kwa mabavu nchini Syria, katika umbali wa kilomita 35 kutoka Damascus.

    2026-09-14 00:39
  • Sheikh Al-Khatib Atahadharisha Kuhusiana na Kunyang’anywa Silaha Muqawama Chini ya Kuvuli cha Wavamizi

    DuniaSheikh Al-Khatib Atahadharisha Kuhusiana na Kunyang’anywa Silaha Muqawama Chini ya Kuvuli cha Wavamizi

    Hawzah/ Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia nchini Lebanon, Sheikh Ali Al-Khatib, ameeleza kuhusu mwaliko wa Rais wa Lebanon wa kuandaliwa mazungumzo mapana ya kitaifa yatakayowakutan…

    2026-09-14 00:09

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan
  • Italiano
  • Hausa
  • indonesia
  • 中文

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom