-
Waziri wa Zamani wa Lebanon:
DuniaHakuna Nafasi ya Kujisalimisha Katika Kamusi Yetu, Muqawama ni Utamaduni wa Maisha
Hawza/ Mustafa Bairam alisisitiza kuwa muqawama nchini Lebanon, sambamba na watu wake, umefikia viwango vya juu kabisa vya wajibu wa kibinadamu na kitaifa katika kusimama upande wa wanyonge,…
-
Mwakilishi wa Hizbullah:
DuniaLicha ya Mashinikizo Yote, Muqawama Utaendelea Kumiliki Silaha
Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Faisal Shukr alisisitiza kuwa; bendera ya muqawama itaendelea kuinuliwa, na silaha zake, licha ya mashinikizo yote, silaha zitaendelea kubakia mikononi mwa wapiganaji…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi Iran, Katika Kikao na Waandaaji wa Kongamano la Kitaifa la Kuadhimisha Mashahidi wa Mkoa wa Alborz Nchini Humo:
DuniaNi lazima Thamani na Motisha za Mashahidi Zihamishiwe kizazi kijacho/ Umuhimu wa Kufafanua kwa Ubunifu wa Kisanaa Maadili ya Ulinzi Mtakatifu
Hawzah/ Ayatollah Sayyid Ali Khamenei amesisitiza: kuhamisha thamani na motisha za kipindi cha Ulinzi Mtakatifu kukielekea kizazi kipya kunahitaji kazi ya kisanaa na ufuatiliaji usiokatika.