Ijumaa 28 Novemba 2025
  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Marjaa wakubwa wa Najaf na Qum leo hii, kama ilivyokuwa kwa Naa’ini, ni ngome imara dhidi ya uvamizi wa madhalimu Iraq, Iran na ulimwengu wa Kiislamu

    Ayatullah A‘rafi katika Kongamano la Mirza Naa’ini nchini Iraq:

    DuniaMarjaa wakubwa wa Najaf na Qum leo hii, kama ilivyokuwa kwa Naa’ini, ni ngome imara dhidi ya uvamizi wa madhalimu Iraq, Iran na ulimwengu wa Kiislamu

    Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza Iran, amesema: Mirza Naa’ini alisimama mara nyingi dhidi ya Waingereza, na kila mara uhuru wa Uislamu na heshima ya Umma ulipokuwa hatarini, wanachuoni wakuu wa Najaf,…

    2025-11-28 19:16
  • Jamhuri ya Kiislamu imeonyesha kuwa ni kitovu cha azma na nguvu / Mbele ya adui wote mshikamane, kama katika vita vya siku 12

    Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi Iran:

    DuniaJamhuri ya Kiislamu imeonyesha kuwa ni kitovu cha azma na nguvu / Mbele ya adui wote mshikamane, kama katika vita vya siku 12

    Hawza/ Ayatollah Ali Khamenei kuhusiana na masuala ya eneo na vita vya siku 12 amesema: Katika vita vya siku 12, taifa la Iran bila shaka liliwashinda Marekani na utawala wa Kizayuni. Walikuja…

    2025-11-28 09:07
  • Haram Tukufu ya Alawi yapokea Ujumbe wa Iran Unaoshiriki Kwenye Kongamano la Kimataifa la Allama Mirza Na’ini

    DuniaHaram Tukufu ya Alawi yapokea Ujumbe wa Iran Unaoshiriki Kwenye Kongamano la Kimataifa la Allama Mirza Na’ini

    Hawza/ Katika muktadha wa ushirikiano wa kitamaduni kati ya Iran na Iraq, Haram Tukufu ya Alawi siku ya Jumatano imeupokea ujumbe wa Iran uliokwenda kwenye Kongamano la Mirza Na’ini, ambalo linafanyik…

    2025-11-28 08:25
  • Ripoti Kuhusiana na Kuanza Rasmi Kongamano la Kimataifa la Kumuenzi Ayatullah Mirza Na’ini Huko Najaf Ashraf

    DuniaRipoti Kuhusiana na Kuanza Rasmi Kongamano la Kimataifa la Kumuenzi Ayatullah Mirza Na’ini Huko Najaf Ashraf

    Hawza/ Kongamano la kimataifa la kumuenzi Allama Na’ini limefanyika kwa ushiriki wa wanazuoni na watu mashuhuri kwenye Haram Tukufu ya Alawi, na katika hafla hiyo pia kumezinduliwa mkusanyiko…

    2025-11-28 08:05
  • Mtazamo nyuma ya pazia kuhusiana na mauaji ya “Shahidi Haytham Tibataaba’i”

    Katika mazungumzo na Mkurugenzi wa Kituo cha Tafiti za Kimkakati cha Al-Mindhar ilielezwa:

    DuniaMtazamo nyuma ya pazia kuhusiana na mauaji ya “Shahidi Haytham Tibataaba’i”

    Hawza/ Dkt. Hasan Al-Abbaadi, Mkurugenzi wa Kituo cha Tafiti za Kimkakati cha Al-Mindhar amesema: Shahidi Tabataaba’i alikuwa na nafasi ya msingi katika kusimamia vita kwa ajili ya kusaidia Muqawama…

    2025-11-28 07:46
  • Daima Jione Kuwa ni Mwenye Mapungufu

    Mafunzo Katika Sahifa Sajjadia:

    DiniDaima Jione Kuwa ni Mwenye Mapungufu

    Hawza/ Kuona matendo mema kuwa makubwa na kuyafanya makosa na madhambi yaonekane kuwa ni madogo, kunaweza kuwa kikwazo katika njia ya ucha-Mungu wa mwanadamu; kwa hiyo, usia wa Maa’sumina (amani…

    2025-11-28 07:39

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom