Hawza/ Luninga kubwa na maarufu zaidi ya matangazo ya kidijitali barani Ulaya imewashwa na kupambwa kwa taa maalum ili kuadhimisha kuanza kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Hawza/ Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika ujumbe wake kwenye mkutano wa mwaka wa Umoja wa Jumuiya za Kiislamu zaa Wanafunzi barani Ulaya amesema: Dunia ya leo inahitajia kuwepo mfumo wa…