Hawza/ Hussein Al-Karawi ameonya kuhusu njama iliyoanzia Jordan, ambayo lengo lake ni kuibua mifarakano na mgawanyiko ili kuiweka serikali ya Iraq katika mzozo na wana wa Muqawama.
Hawza/ Mitaa ya maeneo kadhaa ya Jordan tangia jana imeshuhudia maandamano ya wananchi dhidi ya mauaji ya kimbari yanayofanywa na Israel huko Ghaza, wananchi wa Jordan, licha ya hatua kali za…