Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sheikh Abdulmahdi Karbalai amesisitiza kwamba; Nahju al-Balagha si kitabu cha fasaha na balagha pekee, bali ni ensaiklopidia pana ya maarifa ya Kiislamu na…
Hawza / Mtu anapofanya dhambi, hana budi kutumia neema zilezile ambazo Mwenyezi Mungu amempa ili amuabudu yeye; na hiki ni kitendo cha wazi cha kutokuwa na shukrani.