Hawza / Mustafa Bairam amesema: Dola ya Lebanon imejisalimisha kwa kutia saini kile alichokiita "makubaliano ya fedheha na aibu yaliyoandikwa na Benjamin Netanyahu."
Hawza/ Mustafa Bairam alisisitiza kuwa muqawama nchini Lebanon, sambamba na watu wake, umefikia viwango vya juu kabisa vya wajibu wa kibinadamu na kitaifa katika kusimama upande wa wanyonge,…