Hawza/ Mohamed Salah, nyota maarufu wa Liverpool na nahodha wa timu ya taifa ya Misri, ametoa radi amali ya kejeli kuhusu kuuawa kwa Suleiman Obeid, mchezaji soka mashuhuri wa Palestina, na ameitaka…
Hawza/ Bw. Sufiani, msimamizi wa sehemu ya kuoshea maiti ya Lodge Lane mjini Liverpool amesema: "Mji huu una Waislamu wapatao 40,000, na chumba kimoja kidogo cha kuoshea maiti hakiwezi kabisa…