iraq (4)
-
DuniaSaudi Arabia imewakamata waumini Wairaq kwa kosa la kupiga picha makaburi ya Baqii
Hawzah/ Haishangazi tena kwamba nchi ya Saudi Arabia, kwa sababu zisizo na mantiki na kwa kutumia vibaya ukimya wa serikali ya Iraq na kutojali kwa Wizara ya Mambo ya Nje kuhusu haki za Wairaq…
-
DuniaMuqawama wa Iraqi umeipa Marekani onyo na umelitaka Bunge liwalazimishe waondoke kikamilifu
Hawzah/ Kamati ya Uratibu ya Muqawama wa Iraqi imezitaka taasisi za serikali na Bunge la Wawakilishi la Iraq kutekeleza jukumu lao la kusimamia hali ya majeshi ya uvamizi wa Kimarekani
-
DuniaQur'ani tukufu yachapishwa kwa Jitihada za Wasanii wa Iraq
Hawzah/ Uchapishaji na usambazaji wa nakala hii umefanyika chini ya usimamizi wa Haram ya Imamu Hussein (as). Nakala hii ya Qur’ani imezalishwa kwa kutumia teknolojia za kisasa kabisa za uchapishaji,…
-
DuniaMus’haf wa karne nne wavutia umma Kaskazini mwa Iraq
Katika kijiji kidogo cha Gelezerde, pembezoni mwa mji wa Sulaymaniyah, kaskazini mwa Iraq, kuna nakala ya Qur’ani Tukufu (Mus’haf) ambayo haiwezi kupuuzwa – sio tu kwa uzuri wake wa kale, bali…