Hawza/ Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Sheikh Hassan Kabeke, amesema kuwa; Waislamu wenye asili ya Kishirazi kutoka Uajemi walikuwa miongoni mwa watu wa mwanzo waliofika katika maeneo ya Tanganyika…
Sheikh Saleh Malbi, mhadhiri wa chuo kikuu nchini Tanzania, akirejea uzoefu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ameieleza nchi hiyo kuwa ni mfano wa jamii ambayo imeweza kupiga hatua katika njia…