Jumanne 2 Desemba 2025
  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Ili Kuokoka na Majuto ya Siku ya Kiyama Tufanye Nini?

    Mafunzo Katika Qur'an:

    DuniaIli Kuokoka na Majuto ya Siku ya Kiyama Tufanye Nini?

    Hawza/ Kila wakati unaopita bila kumkumbuka Mwenyezi Mungu, huacha majuto marefu; na kumbukumbu hii si kwa ulimi pekee, bali lazima ionekane na idhihirike pia katika vitendo.

    2025-12-02 14:50
  • Kwa Nini Safari ya Kamanda wa Jeshi la Lebanon Kuelekea Marekani Ilifutwa?

    DuniaKwa Nini Safari ya Kamanda wa Jeshi la Lebanon Kuelekea Marekani Ilifutwa?

    Hawza/ Gazeti la “An-Nahar” liliripoti kuwa moja ya sababu za kufutwa kwa safari ya Kamanda wa Jeshi la Lebanon kwenda Marekani ilikuwa ni kupinga kwake kushiriki mkutano uliokuwa umepangwa kufanyika…

    2025-12-02 13:50
  • Mbinu Yenye Ufanisi ya Ayatollah Bahjat kwa Ajili ya Kupata Unyenyekevu Moyoni Wakati Unaswali

    DuniaMbinu Yenye Ufanisi ya Ayatollah Bahjat kwa Ajili ya Kupata Unyenyekevu Moyoni Wakati Unaswali

    Hawza/ Kushikamana na kuswali Swala mwanzo wa wakati huleta unyenyekevu moyoni bila kipingamizi. Kufungamana tu na wakati wa Swala ni mazoezi ya kupata unyenyekevu moyoni ndani ya Swala, na kwa…

    2025-12-02 12:50
  • Kipi Kilijiri Katika Mazungumzo Kati ya Sheikh Al-Khatib na Papa Laon?

    DuniaKipi Kilijiri Katika Mazungumzo Kati ya Sheikh Al-Khatib na Papa Laon?

    Hawza/ Makamu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Waislamu wa Kishia wa Lebanon alisema katika mazungumzo yake na Papa: Utamaduni wetu wa kiroho umejengwa juu ya undugu wa kibinadamu; nasi…

    2025-12-02 11:50
  • Utawala wa Kizayuni Umeshindwa Kufikia Malengo yake Nchini Lebanon

    Mjumbe wa Kambi ya Muqawama:

    DuniaUtawala wa Kizayuni Umeshindwa Kufikia Malengo yake Nchini Lebanon

    Hawza/ Ihaab Hamade alisema: Asipatikane yeyote wa kuwahadaa kwa vitisho na kuvunja mori; muqawama wetu ni imara na una nguvu.

    2025-12-02 10:50
  • Jenerali mstaafu wa Israel: Jeshi Linakabiliwa na Mgogoro Mkubwa Zaidi wa Rasilimali Watu Katika Historia Yake

    DuniaJenerali mstaafu wa Israel: Jeshi Linakabiliwa na Mgogoro Mkubwa Zaidi wa Rasilimali Watu Katika Historia Yake

    Hawza/ Ya‘qub Brick, katika makala iliyochapishwa kwenye gazeti la Kizayuni la Maariv, ametangaza kwamba katika miezi ya hivi karibuni maelfu ya maafisa na sajenti wamekataa kuendelea na huduma…

    2025-12-02 08:00
  • Israel Yatumia vyombo vya Habari Kama Nyenzo Dhidi ya Waislamu Ufaransa

    DuniaIsrael Yatumia vyombo vya Habari Kama Nyenzo Dhidi ya Waislamu Ufaransa

    Hawza/ Hivi karibuni kura ya maoni ilichapishwa nchini Ufaransa ambayo iliandaliwa kwa kuungwa mkono na Mayahudi na hatimaye Israel dhidi ya Waislamu wa Ufaransa, lakini nyaraka zilizopatikana…

    2025-12-02 07:00
  • Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu Yafanyika Nchini Pakistan

    DuniaMashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu Yafanyika Nchini Pakistan

    Hawza/ Mashindano ya kimataifa ya usomaji mzuri wa Qur’ani Tukufu yamefanyika mjini Islamabad, Pakistan, kwa ushiriki wa wawakilishi kutoka nchi 37 za Kiislamu duniani.

    2025-12-02 06:00

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom